Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukeketaji

Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukeketaji

Leo, WiLDAF Tanzania inaungana na dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukeketaji (FGM), ikiwa ni siku ya kuhamasisha jamii kupinga na kukomesha kabisa vitendo hivi vinavyokiuka haki za wasichana na wanawake. Tunaendelea kuwawezesha wanawake na wasichana, kuwashirikisha wanaume na…