WiLDAF is honored to receive a visit from Kate Somvongsiri; the USAID Mission Director in…

Tuzo za vinara
Tuzo za vinara katika kupambana dhidi ya Ukatili wa Kijinsia (GBV)
Kwa kutambua na kupongeza juhudi za watu binafsi na mashirika ambayo yamechukua hatua kubwa na za kipekee katika kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii zao na Tanzania kwa ujumla, Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Barani Afrika (WiLDAF) kwa kushirikiana na Mtandao wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (MKUKI), LSF, UNFPA pamoja na Umoja wa Ulaya (EU) wametoa tuzo kwa vinara 16.
Tuzo hizi zimetolewa Desemba 8, 2021 ikiwa ni sehemu ya Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia. Tuzo hizo zimetolewa kwa watu wafuatao;

Angela Edwinio Kilasi

Janeth John Kiko

Joyce Kiango (Kushoto)

Msafiri Mchenya (Kushoto)

Prisca Ngwesheni (Kushoto)

Rachel Zengo

Sheikh Mohamed Kadidi (Kushoto)

Pili Hassan Maguzo (Kushoto)

Angela Benedicto

Askofu Isaac Kissiri (Kushoto)

Benjamin Mzinga

David Msemwa

Eliwilimina Buberwa

Dk Flora Lauo

Veronica Lymo

This Post Has 0 Comments